loader
March 17, 2025

BREAKING NEWS: Prof. Kithure Kindiki Sworn in as the New Deputy President at KICC, Nairobi.

Sydney 29

Warning: Undefined array key "menu_align" in /home/alshifa1/public_html/wp-content/plugins/iqonic-extensions/includes/Elementor/Elements/Navigation/render.php on line 36

Uhamisho 18 Disemba 2023

Klabu ya crystal palace inapanga kumuendea Eddie nketiah katika dirisha la Januari ili kumsajili. Klabu ya Everton inapania kumsajili mshambulizi wa Marseille na timu ya taifa ya Senegal illman ndiaye. Miamba wa soka real Madrid na Manchester city wanapigana vikumbo ili kuinasa saini ya kiungo wa girona Miguel Gutierrez Manchester United huenda wakamsajili David alaba […]

Uhamisho Wa Wachezaji Ijumaa Tarehe 15 Disemba 2023

AFC Leopards wanapanga kuivamia Kakamega Homeboyz na kuwasajili wachezaji watatu, ambao ni Moses Shumah, Brian Eshihanda, na Faruk Shikalo katika dirisha la usajili la katikati mwa msimu,Kwa jumla, Ingwe wanatarajiwa kusajili makipa wawili, mabeki wa kati watano, mabeki wawili wa kulia, mawinga wawili, kiungo wa kati na washambuliaji wawili kwenye dirisha hilo. Wachezaji wengine ambao […]