Uhamisho 18 Disemba 2023
Klabu ya crystal palace inapanga kumuendea Eddie nketiah katika dirisha la Januari ili kumsajili. Klabu ya Everton inapania kumsajili mshambulizi wa Marseille na timu ya taifa ya Senegal illman ndiaye. Miamba wa soka real Madrid na Manchester city wanapigana vikumbo ili kuinasa saini ya kiungo wa girona Miguel Gutierrez Manchester United huenda wakamsajili David alaba […]