loader
March 17, 2025

BREAKING NEWS: Prof. Kithure Kindiki Sworn in as the New Deputy President at KICC, Nairobi.

Sydney 29

Warning: Undefined array key "menu_align" in /home/alshifa1/public_html/wp-content/plugins/iqonic-extensions/includes/Elementor/Elements/Navigation/render.php on line 36

TAASISI YA SMART APPLICATIONS INTERNATIONAL YAZINDUA HUDUMA ZA AFYA ZA KITEKNOLOJIA NCHINI.

. Taasisi ya Smart Applications International imezindua mbinu mpya ya Kimatibabu ya Kidijitali hapa jijini Mombasa ambapo, teknolojia hiyo, itawezesha wagonjwa kupata huduma za Kidijitali. Akizungumza hapa jijini mombasa, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Bwana Harrison Muiru ameeleza kuwa wameshirikisha hospitali zaidi ya Mia Tatu katika Ukanda wa Pwani,huku akisema kuwa Teknolojia hiyo itarahisisha pakubwa […]

mabingwa wa ‘Over 40’ Football tournament Mombasa

Kipute cha – Over ‘40’ Football Tournament Mombasa ambacho kilitamatika jana kwa nyasi kuumia katika uga wa Serani kilivutia wadogo kwa wakubwa huku timu ya Wazee Health wakitwaa ubingwa wa ngarambe hiyo dhidi ya Ziwani Old Guard kwa mikwaju ya penati. [4 – 2] Ni michuano iliochukua kipindi cha miezi miwili ikishirikisha timu 12 kutoka […]